Enter your keyword

kijalo hans

Friday, April 14, 2017

Waliovunjiwa nyumba Mkwajuni Dar kulipwa

By On April 14, 2017
BUNGE limeelezwa kuwa wananchi waliovunjiwa nyumba katika eneo la Mkwajuni wilayani Kinondoni ambao wana hati watalipwa fidia.

Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, wakati akijibu swali la Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia (CUF) aliyetaka kujua hatima ya watu waliovunjiwa nyumba katika eneo hilo.
Naibu Waziri alisema, ni kweli watu walivunjiwa nyumba katika eneo la Mkwajuni na Mkunguni, hivyo wapeleke hati zao wizarani walipwe fidia.
Akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalumu, Salma Mwassa (CUF) aliyetaka kujua kuna umuhimu gani kusarisimisha nyumba alisema, kunapunguza migogoro ya ardhi.
Mabula alisema urasimishaji wa ardhi maana yake ni kutambua miliki ya wananchi kwenye maeneo yaliyoendelezwa bila kupimwa kisheria.
Matokeo ya urasimishaji ni kutoa hati miliki na kuweka miundombinu ya msingi kama vile barabara, maji, mifereji ya maji ya mvua na ikiwezekana majina ya mitaa.
“Urasimashaji ni mpango shirikishi unaowezesha wananchi kukubaliana na mipaka ya viwanja, kufungua njia na kutoa maeneo ya huduma za jamii kama vile shule, vituo vidogo vya polis, makaburi, zahanati na maeneo ya wazi,” alisema.

source:habarileo
Tuandikie Maoni Yako Hapa Chini. Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video za kufurahisha na kuvunja mbavu.

Friday, January 20, 2017

By On January 20, 2017
  1. From a private church service to the oath to the inaugural balls, watch President Trump celebrate his inauguration



Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video

Wednesday, November 2, 2016

MUSIC: TEKNO FT YEMI ALADE – PANA REMIX (LISTEN & DOWNLOAD)

By On November 02, 2016
Huwezi kuzungumzia ngoma ambazo zinabamba kinoma noma sasa hivi Africa ukaacha kuitaja “Pana” yakwake Tekno Milles.
Ni ngoma kali iliyoshiba katika kila idara kuanzia kwenye production hata kwenye mashairi. Sasa nimeileta remix ya ngoma hiyo ambayo humo ndani kuna kichwa kingine kibovu ambacho kinawanyima usingizi wasanii wakike wa Tanzania kila kukicha katika suala zima la Tuzo za kimataifa, anaitwa Yemi Alade.

LISTEN & DOWNLOAD...................


Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video

RATIBA YA MICHEZO YA UEFA LEO JUMATANO NOVEMBER 2

By On November 02, 2016

Baada ya kushuhudia Man City akimnyoosha Barcelona hapo jana katika uwanja wake wa nyumbani, tuna nafasi nyingine tena ya kukiangalia atakachokifanya Bayer Leverkusen nyumbani kwa Tottenham Hotspurs. Ni baada ya mchezo uliopita baina ya timu hizo kumalizika kwa sare ya bila kufungana.
Na huo ni mmoja tu kati ya michezo 8 ambayo inatarajiwa kupigwa usiku wa leo katika viwanja tofauti tofauti ili kukamilisha idadi ya michezo 4 katika kila timu kwa hatui hii ya makundi ya Ligi ya mabingwa barani humo.
Na ratiba ya michezo hiyo ipo kama ifuatavyo.
Group E
  1. Monaco vs CSKA Moscow
  2. Tottenham Hotspurs vs Bayer Leverkusen
Group F
  1. Borussia Dortmund vs Sporting CP
  2. Legia Warszawa vs Real Madrid
Group G
  1. FC Koebenhavn vs Leicester City
  2. FC Porto vs Club Brugge
Group H
  1. Juventus vs Lyon
  2. Sevilla vs Dinamo Zagreb
Michezo yote hiyo itachezwa mishale ya saa 4:45 Usiku.

Source: perfect255

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video



Saturday, October 15, 2016

VIDEO: “HOW LONG” YA DAVIDO NA TINASHE HII HAPA

By On October 15, 2016

Baada ya kutangaza kuachia video ya wimbo wake mpya wa “How long” aliomshirikisha Tinashe kutoka ijuma hii, hatimaye kichupa kimetoka..

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video 


Video: Gucci Mane – Icy Lil Bitch

By On October 15, 2016
Ballin’! Gucci Mane becomes Coach Guwop in the video for his Zaytoven-produced single “Icy Lil Bitch.”

Jiunge na hatukwamii.blogspot.com/ sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video 

Thursday, October 6, 2016

Mtuhumiwa wa unyang’anyi wa kutumia silaha na kutoboa macho

By On October 06, 2016


Mtuhumiwa wa unyang’anyi wa kutumia silaha na kutoboa macho, Salum Njwete maarufu ‘Scorpion’ akisindikizwa na polisi na askari magereza kurejeshwa rumande baada ya kusomewa shitaka lake katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam jana.
Scorpion alifikishwa mahakamani hapo jana mbele ya Hakimu Mkazi, Adelf Sachore na kusomewa mashitaka na Wakili wa Serikali, Munde Kalombola.
Akisoma mashitaka hayo, Kalombola alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Septemba 6, mwaka huu eneo la Buguruni Sheli wilaya ya Ilala.
Munde alidai, Njwele aliiba mkufu rangi ya fedha wenye uzito wa gramu 34 ikiwa na thamani ya Sh 60,000, bangili na fedha taslimu Sh 331,000 vyote kwa pamoja vikiwa na thamani ya Sh 476,000 mali ya Mrisho.
Kalombola alidai kuwa mshitakiwa kabla na baada ya wizi huo, alimchoma kisu machoni, tumboni na mabegani mlalamikaji ili ajipatie mali hizo.
Hata hivyo, upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na upande wa mashitaka uliomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutaja.
Hakimu Sachore aliahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 19, mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena. Mshitakiwa alirudishwa rumande kutokana na mashitaka yanayomkabili kutokuwa na dhamana.

Mkali huyo wa masauti ambaye anafanya vizuri na wimbo

By On October 06, 2016



Mkali huyo wa masauti ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Nishike’, ameiambia Bongo5 kuwa yeye ni mwanamuziki kwa kuwa anafanya vitu vingi ndani ya muziki.
“Mimi ni msanii ninayefanya muziki ndani ya Tanzania, sio muziki wa bongofleva, sio muziki wa dansi, sio msanii wa taarabu,” alisema Bella “Mimi ni mwanamuziki, mimi ni mwanamuziki kwa ujumla, usiniseme mimi ni Bella msanii wa muziki wa dansi au Bella msanii wa muziki wa bongofleva au Bella msanii wa taarab au Bella msanii wa R&B, Christian Bella ni mwanamuziki,”
Aliongeza “Mimi nafanya muziki kufurahisha kila mtu, nafanya muziki kufurahisha wanahip hop, wana bongofleva, wana dansi,wana taarab ndio maana mimi naitwa mwanamuziki,”


Pia muimbaji huyo amewataka mashabiki wa muziki wake kukaa makao wa kula kwa ajili ya ujio wa studio yake pamoja na label ya kusimamia wasanii.

Popular

Categories